This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Makala nyingine
Makala mpya
AZAM WANASHUSHA MAJEMBE TU
KLABU ya Azam imefikia makubaliano na klabu ya Stade Malien (Mali) kumsajili kiungo mshambuliaji, Franck Tiesse. kwa mkataba wa miaka miwili kuanzia msimu ujao wa 2024-25. Tiesse (26) anayesifika kwa …
SIMBA BADO WANAPATA TABU
NAMUNGO walikomba pointi moja mbele ya Simba kwa sare ya kufungana mabao 2-2 mchezo wa mzunguko wa pili, Uwanja wa Majaliwa Jana usiku. Licha ya Simba kuanza kufunga kila kipindi …
MTIBWA SUGAR WANAHITAJI MAOMBI
NDANI ya msimu wa 2023/24 yamekuwa ni mapito magumu kwa Mtibwa Sugar inayopambana kubaki ndani ya ligi kwa kusaka matokeo katika mechi zilizobaki. Sio nyumbani wala ugenini hali haijawa nzuri …
SIMBA NA YANGA WANAWACHANGIA TFF
KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu nchini imezitoza faini Simba na Yanga kutokana na kosa la kuingia katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kupitia milango …
SIMBA KUIFUATA KAGERA KINYONGE
BAADA ya kugawana pointi mojamoja dhidi ya Namungo, Uwanja wa Majaliwa kete inayofuata kwa Simba ni dhidi ya Mtibwa Sugar. Chini ya Kocha Mkuu Juma Mgunda akishirikiana na Seleman Matola …
ISHU YA KIBU DENIS NA YANGA IKO HIVI
ASUBUHI ya leo, kumeibuka taarifa juu ya mshambuliaji wa Simba Kibu Denis kutakiwa na klabu ya Yanga. Taarifa zinadai kuwa, Yanga wamemuandalia mkataba wa miaka mitatu wenye thamani ya milioni …
Manchester United Yalazimishwa Sare Nyumbani
Klabu ya Manchester United wameendelea kudondosha alama katika ligi kuu ya Uingereza baada ya leo kulazimishwa sare ya goli moja kwa moja na klabu ya Burnley wakiwa nyumbani. Baada ya …
Liverpool Yakabwa Koo Tena
Klabu ya Liverpool imekabwa koo tena leo mbele ya klabu ya Westham United baada ya kulazimishwa sare ya mabao mawili kwa mawili katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza. Baada …
Ten Hag: Hatuwezi Kugombea Ubingwa Msimu Ujao
Kocha wa Manchester United Erik Ten Hag ameweka wazi kua klabu hiyo haina uwezo wa kugombania ubingwa msimu ujao zaidi watagombea nafasi nne za juu. Kocha Ten Hag ameyazungumza hayo …
YANGA WALIKWAMIA HAPA KWA JKT
BAKARI Mwamnyeto nahodha wa Yanga ameweka wazi kuwa moja ya sababu kubwa iliyofanya wakakosa ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Tanzania ni sehemu ya kuchezea kutokuwa …